*MAHITAJI*
β Mchele Nusu kilo
β Tui la nazi kikombe 1 - 2
β Hamira kijiko 1
β Hiliki kiasi
β Ute wa Yai 1
β Sukari Robo kikombe
*NAMNA YA KUANDAA*
βLoweka mchele usiku 1 / Masaa 8
βSaga kwenye blenda mchele,hamira,tui la nazi,hiliki hadi viwe laini..
βMimina sukari na ute wa yai kwenye mchanganyiko wako then changanya vizuri...kisha weka sehemu yenye joto uumuke
Weka sufuria jikoni mafuta kidogo yakipata moto mimina mchanganyiko wako
βBaada ya dakika 5-10 mkate ukishaanza kushikana funika kwa ufuniko then weka kwenye oven moto 300Β° hadi uwive na kuwa rangi ya brown. Kama utatumia mkaa kadiria moto
βSubiria mkate upoe ndipo uukate vipand vipande
βMkate wako yari kwa kuliwa ππ
*MKATE HUU MTAMU HATARI:* π€π€
No comments:
Post a Comment