Wednesday, January 20, 2021

JINSI YA KUPIKA MKATE WA KUMIMINA* 🍞🍞



                  *MAHITAJI

βœ“ Mchele Nusu kilo 
βœ“ Tui la nazi kikombe 1 -  2 
βœ“ Hamira kijiko 1
βœ“ Hiliki kiasi
βœ“ Ute wa Yai  1
βœ“ Sukari Robo  kikombe


        *NAMNA YA KUANDAA* 


βž–Loweka mchele usiku 1 / Masaa 8

βž–Saga kwenye blenda mchele,hamira,tui la nazi,hiliki hadi viwe laini..
βž–Mimina sukari na ute wa yai kwenye mchanganyiko wako then changanya vizuri...kisha weka sehemu yenye joto uumuke

Weka sufuria jikoni mafuta kidogo yakipata moto mimina mchanganyiko wako

βž–Baada ya dakika 5-10 mkate ukishaanza kushikana funika kwa ufuniko then weka kwenye oven moto 300Β° hadi uwive na kuwa rangi ya brown. Kama utatumia mkaa kadiria moto

βž–Subiria mkate upoe ndipo uukate vipand vipande

βž–Mkate wako yari kwa kuliwa πŸ‘πŸ‘

*MKATE HUU MTAMU HATARI:* πŸ€—πŸ€—

No comments:

Post a Comment